in ,

Fahamu Mabadiliko Yote ya Muhimu Mfumo wa iOS 15

Mfumo wa iOS 15 unategemewa kupatikana rasmi kuanzia September 20 (2021)

Fahamu Mabadiliko Yote ya Muhimu Mfumo wa iOS 15

Kama wewe ni mmoja wa watumiaji wa simu za Apple basi nadhani sasa ni wakati mzuri wa kufahamu kuhusu mfumo mpya wa iOS 15. Mfumo huu mpya unategemewa kutoka sambamba na simu mpya za iPhone 13 ambazo zimezunduliwa hivi karibuni.

Yapo mambo mengi sana ambayo unatakiwa kujua kuhusu mfumo wa iOS 15, lakini kupitia makala hii nakuahidi utaweza kufahamu yote ya muhimu kuhusu iOS 15 ikiwa pamoja na yale ambayo pengine utegemee kuona kwenye simu yako ya iPhone hivi karibuni.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Basi bila kuendelea kupoteza muda wako zaidi bofya Play hapo chini kujua mabadiliko yote ya muhimu yanayo tarajiwa kuja kwenye iOS 15.

Kama umeangalia video yote hapo juu, basi hayo ndio mabadiliko ya muhimu kwenye mfumo wa iOS 15, mfumo ambao unategemewa kuja na simu mpya za iPhone 13 tarehe 20 mwezi huu.

Mbali na hayo unaweza kuangalia list hapo chini ili kujua kama simu yako ipo kwenye simu ambazo zitapokea mfumo huo hapo tarehe 20 mwezi huu.

Simu za iPhone Zitakazo Pokea iOS 15

Fahamu Mabadiliko Yote ya Muhimu Mfumo wa iOS 15

Kwa mujibu wa kampuni ya Apple, zifuatazo ndio simu zote za Apple ambazo zitapokea mfumo mpya wa iOS 15 hivi karibuni.

Na hayo ndio yote ya muhimu ambayo unatakiwa kujua kuhusu mfumo mpya wa iOS 15, kama unataka kujua kuhusu mfumo wa iOS 14 basi unaweza kusoma hapa.

Kwa habari zaidi za teknolojia hakikisha unatembelea tovuti ya Tanzania Tech kila siku, pia usisahau kujiunga nasi kupitia channel yetu ya Tanzania Tech kupitia YouTube hapa.

Fahamu Mabadiliko Yote ya Muhimu Mfumo wa iOS 15
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.