Camon X

Simu Mpya ya Tecno Camon X Kuzinduliwa Rasmi April 5

Baada ya tetesi za ujio wa simu mpya za Tecno Camon X pamoja na Camon X Pro sasa habari tulizozipata hapo jana zinadhibitisha kuwa, simu hizo mpya zitazinduliwa rasmi tarehe 5 Aprili mwaka huu 2018 na uzinduzi rasmi unategemewa kufanyika huko nchini Nigeria.

Kwa mujibu wa chanzo hicho cha habari, simu hizo zinategemewa kuja na kamera zenye nguvu zaidi na zinategemewa kuja na sifa za tofauti kuliko simu zingine za Tecno Camon. Mbali na hayo Bado hakuna taarifa zaidi za sifa kamili za simu hiyo lakini tutaendelea kuwaletea habari kamili za simu hii, ikiwa na uzinduzi wa simu hii mubashara kabisa.

Comments

No comments yet. Be the first!

Previous Post
Angalia Hapa Mubashara Uzinduzi wa Simu Mpya Huawei P20 1
Angalia Hapa Mubashara Uzinduzi wa Simu Mpya Huawei P20
Next Post
Sifa za Huawei P20 Pro na Huawei P20

Zifahamu Hizi Hapa Ndio Sifa za Huawei P20 na P20 Pro