Huawei Yazindua Huawei Nova 2S Simu Mpya Yenye Kamera Nne Comments
Back to post
Kwa muda wa miezi michache iliyopita huawei imezundua simu za Mate 10/Mate 10 Pro, Honor View 10, pamoja na Honor x7. Lakini kama haitoshi Huawei…
-
Hii simu usinunue kabisa Kutoka kwa Wafanya Biashara wa Kariakoo, kwani imebadilishwa mfumo ili kuonekana kama inasoma GB 128 wakati ni 64 na RAM 6 Wakati ni RAM 3. Wafanyabishara wengi wa kariakoo sio waaminifu kuwa makini
-
Huawei nova 2s imekuja na GB 256 lakin ni inauwezo wa GB64
Leave a Comment
Sign in with Google to post a comment


