Mubashara Mark Zuckerberg Akihojiwa na Wabunge wa Ulaya

Angalia Mark Zuckerberg Akihojiwa na Wabunge wa Ulaya
mark-zuckerberg akihojiwa mark-zuckerberg akihojiwa

Kama ripoti za awali zilivyo sema leo Mark Zuckerberg kwa mara ya pili leo anahojiwa na wabunge wa ulaya kuhusu usalama wa data za watumiaji wa Facebook wa nchini ulaya. Angalia hapa mubashara wakati Mark Zuckerberg akihojiwa na wabunge hao. Mahojiano haya yanafanyika mubashara akiwemo raisi wa bunge la ulaya.

Advertisement

Soma habari mbalimbali za teknolojia kutoka tovuti ya Tanzania Tech
Over 7,000 subscribers
Add a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *