Je Unadhani Kati ya iPhone 7 na Galaxy S7 Simu ipi ni Bora

Tuambie simu ipi ni bora kwako kwa kupiga kura yako
iPhone-7 na galaxy-s7 iPhone-7 na galaxy-s7

Samsung inategemea kutoa simu yake mpya ya Galaxy S8 mwishoni mwa mwezi wa tatu, kwa upande wa kampuni ya Apple pia nayo inajiandaa na simu yake mpya ya iPhone 8 ambayo inategemewa kuja katikati ya mwaka huu kuanzia mwezi wa tano.

Katika hatua zote hizo za kampuni zote hizo kutarajia kuja na simu mpya ni vyema tuangalie nyuma kidogo kujua ni simu gani ambayo imekupendeza kwa mwaka ulio isha wa 2016 kutoka kwa kampuni hizo. Sasa hapa tungependa kujua maoni yako kuwa ni simu gani bora kwako kati ya simu hizo za iPhone 7 na Galaxy S7 tuambie kwa kuchagua aina ya simu unayoona kuwa kwako ni nzuri na bora kwako.

[totalpoll id=”8884″]

Kama unatumia App ya Tanzania Tech unaweza kutoa maoni yako kwa kutumia link hii http://bit.ly/tanzaniatechmaoni.

Advertisement

3 comments
  1. Asante sana kwa kutupatia ushauri, kutoa maarifa mubashara juu ya teknolojia hakika ni furaha sana kwangu kuyapata haya katika app hii.
    Kuhusu app ya FOAP MARKET naomba nipate uelewa pia kama kuna watanzania ambao hutumia app hii na kufaidika
    NAITWA MOSES MHEMA

  2. Je simu aina ya Tecno W5 yenye kamera 13mp inawezekana kutumika kupiga picha na kutuma kwenye app ya FOAP MARKET

  3. simu inatatizo hili unauthorized actions have been detected. Restart your device to undo any unauthorized changes sijui linasababishwa na nn

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use