Nunua umeme LUKU

Tanesco Yafafanua Kuhusu Kununua Umeme Kwenye Simu

Hivi karibuni tuliskia kuhusu Mtandao wa Vodacom kujitoa kwenye huduma ya kununua Umeme LUKU kupitia MPESA, lakini kujitoa huko hakukudumu kwani baadae kampuni ya Vodacom Tanzania ilitoa tamko na kusema itaendelea na huduma hiyo na badala yake kutakuwa na ongezeko la malipo ya kupewa huduma hiyo ya LUKU ambayo yatakuwa asilimia 1.1.

Sasa basi, kumekuwa na mkanganyiko kuhusu ongezeko la asilimia hizo 1.1 na hivi leo Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limezungumzia na kutoa ufafanuzi kuhusu tozo ya asilimia 1.1 wanayokatwa wateja baada ya kununua umeme kwa njia ya mitandao ya simu na pia kwa kupitia kwa mawakala wa benki.

 

Comments

No comments yet. Be the first!

Previous Post
Sifa za Tecno F
Hizi Hapa Bei na Sifa za Tecno F1,Tecno F2 na Tecno POP 1
Next Post
Jiandae na Simu Mpya za Samsung Galaxy A6 na A6 Plus 1

Jiandae na Simu Mpya za Samsung Galaxy A6 na A6 Plus