Je Infinix NOTE 12 au Samsung Galaxy A14.?

Kwanza ifahamike bei sio tafsiri ya kitu kuwa bora
Je Infinix NOTE 12 au Samsung Galaxy A14.? Je Infinix NOTE 12 au Samsung Galaxy A14.?

Tulishawahi kuleta makala kuhusu Infinix NOTE 12 na Samsung a14 na maswali yakawa mengi sana hasa kwenye swala la bei kama ambavyo specs zinavyosema Infinix NOTE 12 G88 ni kubwa kwa features zaidi ya Samsung A14.

Kwanza ifahamike bei sio tafsiri ya kitu kuwa bora au kukosa ubora hivyo basi tuondoe zana ya kuwa kilicho na bei ya juu ndio bora zaidi ya kilichobei ya chini.

Advertisement

Infinix NOTE 12 ni bora zaidi ya Samsung A14 lakini NOTE 12 inapatikana kwa bei nafuu kulinganisha na A14 kwa uelewa wangu naweza sema sababu Infinix inawaangalia zaidi vijana katika kukuza soko lao na ndio maana sikuzote wamekuwa na matoleo yenye features za kisasa lakini bei wanalegeza ilihali Samsung kijana si mteja wake mkubwa.

Je Infinix NOTE 12 au Samsung Galaxy A14.?

Narudia kusema zote ni simu bora ila juu yakow ewe kufanya maamuzi kulingana na kile unachokitafuta kwenye simu kama ni brand au ni sifa za simu yenyewe. weka maoni yako

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use