Samsung Galaxy S8 Kuzinduliwa Rasmi Kesho Tarehe 29 March

Kaa tayari kupokea simu mpya ya Samsung Galaxy S8 hapo kesho
Samsung Galaxy S8cv Samsung Galaxy S8cv

Imebaki siku moja mpaka kutoka kwa simu mpya ya Samsung Galaxy S8, simu ambayo imesubiriwa kwa hamu pengine kuliko simu nyingine zilizotoka mwanzoni mwa mwaka huu 2017.

Katika uzinduzi huo Samsung inategemewa kuzindua simu yake hiyo uko New York nchini marekani, tamasha la uzinduzi litanza hapo kesho saa 6:00 pm kwa saa za Afrika mashariki na tutakuletea tamasha zima jinsi litakavyo kuwa moja kwa moja live.

https://www.youtube.com/watch?v=2iNTxLXO-Iw

Advertisement

Kwa sasa kama unataka habari zaidi kuhusu simu hii unaweza ukasoma yote tuliyo yakusanya  kuhusu samsung galaxy s8 kabla ya tarehe ya kutoka hapo kesho.

Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech pia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka, pia unaweza kujiunga na channel yetu ya Tanzania Tech ili kupata habari na maujanja ya teknolojia kwa njia ya video.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use