Kama wewe ni mmoja wa watu ambao wamepoteza namba za simu za watu ambao hapo zamani ulikuwa na namba zao basi njia hii itakusaidia sana. Kupitia njia hii nitakuonyesha njia rahisi ambayo…
Mapema wiki hii, Xiaomi kupitia chapa yake ya Poco ilitangaza kuzindua mfululizo wa simu za Poco X7 tarehe 9 Januari. Ingawa hawakutaja idadi ya simu zitakazozinduliwa, sasa imethibitishwa…
Kampeni ya #ToneProud ya TECNO inalenga kushughulikia upendeleo wa rangi ya ngozi katika upigaji picha wa simu kwa kuhimiza uwakilishi sahihi na kusherehekea utofauti wa binadamu. Kwa kutumia…
Kama wewe ni mmoja wa watu ambao umekuwa ukiona kompyuta yako inajaa haraka bila sababu ya msingi basi ni wazi kuwa kuna mafaili ambayo yana chukua nafasi hiyo bila wewe kujua. Na kama wewe ni…
Kama wewe ni mmoja wa watu ambao jana walipitwa na uzinduzi wa bidhaa mpya za Apple ikiwa pamoja na iPhone 16 nime kuwekea video hapo chini ambayo itakusaidia kuweza kujua yote yaliyojiri hapo…