in

Jiandae na Infinix S5 Pro Hapa Tanzania (10 April 2020)

Kampuni ya infinix kuzindua simu mpya ya Infinix S5 Pro hapa Tanzania

Jiandae na Infinix S5 Pro Hapa Tanzania (10 April 2020)

Kuna madai kwamba Infinix S5 Pro imechelewa kufika kwenye soko la Tanzania, chanzo kikijulikana kama janga la CORONA, sasa katika kuleta usawa bana ya wateja wa Infinix, Kampuni ya simu ya Infinix imeona ni vyema wadau wa simu za Infinix hapa Tanzania kupokea Infinix S5 Pro yenye sifa bora zaidi kuliko simu za Infinix S5 Pro zilizopo sokoni kwa sasa nchini India na Pakistani.

Jiandae na Infinix S5 Pro Hapa Tanzania (10 April 2020)

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Lakini vile vile inasemekana kuwa vionjo vilivyo fanyiwa kazi kwenye Infinix S5 Pro vimetokana na comment za wateja kupitia website ya GSMArena kwani kupitia mtandao huo wadau walionekana kuridhishwa na selfie ya simu hiyo yenye megapixel 40 na teknolojia ya kamera kuchomoza ndani ya simu na kukerwa na mfumo wa chaji wakidai ni vyema kwa simu yenye Android V10 (Q) kutumia chaji aina ya TYPE C.

Na kulingana na matakwa ya wateja inasemekana Infinix S5 Pro imefanyiwa maboresho mengi kama aina ya chaji na processor pia kuwa yenye speed zaidi ili kuweza kuwafuraisha wachezaji games kupitia simu hiyo lakini pamoja na maboresho yote hayo inasemekana Infinix S5pro itapatikana kwa bei isiyozidi TZS 550,000 ambayo ni sawa na bei ya awali.

Jiandae na Infinix S5 Pro Hapa Tanzania (10 April 2020)

Kujua mengi zaidi hakikisha una unaendelea kutembelea Tanzania Tech kwani tutakupa taarifa kamili kuhusu sifa kamili pamoja na bei ya simu hii pale itakapotoka rasmi hapa nchini Tanzania.

Jiandae na Infinix S5 Pro Hapa Tanzania (10 April 2020)
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Infinix na JBL Waungana Tena Na Sasa Ni Infinix Note 40

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

One Comment