in

TTCL Imesema Laini za Mtandao Huo ni Bure na Haziuzwi

Kama utauziwa laini za mtandao huo unatakiwa kutoa taarifa

TTCL Imesema Laini za Mtandao Huo ni Bure na Haziuzwi

Hivi karibuni shirika la mawasiliano Tanzania (TTCL) limekuwa likifanya maboresho ya huduma zake ikiwa pamoja na kuimarisha zaidi huduma za mawasiliano pamoja na internet, sasa kuptia akaunti ya Twitter ya Waziri Kindamba mbaye ni Kaimu ofisa mtendaji mkuu wa TTCL amesema kuwa laini za mtandao huo za simu zinatolewa bure na hazipaswi kuuzwa.

Mkurugenzi huyo aliandika tweet ifuatayo ikifuatiwa na picha ya tangazo hilo, “Epuka matapeli, Laini za TTCL in BURE kabisa, HAZIUZWI”.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

TTCL sasa imekua ikijitahidi kuboresha huduma zake, ikiwa pamoja na kuanzisha huduma nyingi mpya za internet ili kuweza kukidhi mahitaji ya wateja wake kwa hapa Tanzania.

TTCL Imesema Laini za Mtandao Huo ni Bure na Haziuzwi
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

2 Comments