Picha ya Samsung Galaxy Note 8 Yavuja Kabla ya Tarehe 23

Picha nyingine ya Samsung Galaxy Note 8 Mpya, ipi ndio yenyewe..?
note 8 mpya note 8 mpya

Pamoja na siku za kutoka kwa simu mpya ya Samsung Galaxy Note 8 kukaribia, bado tetesi pamoja na kuvuja kwa picha za simu hizo zina endelea kutoka kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.

Hivi karibuni kupitia yule mtaalamu wa kuvujisha picha za simu kabla hazija toka, Evan Blass ametoa picha ambazo inasemekana kabisa kuwa ndio picha za simu hiyo mpya ya Note 8

Soma hapa habari zaidi kuhusu simu hii mpya ambayo inatarajiwa kutoka rasmi tarehe 23 mwezi huu wa nane huko nchini marekani.

Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech pia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka, pia usisahu kujiunga na channel yetu ya Tanzania Tech ili kupata habari na maujanja mbalimbali ya teknolojia kwa njia ya Video.

Chanzo : The Verge

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use