in

Jinsi ya Kuedit Video Kwenye Simu Kama Kwenye Kompyuta

Njia bora ya kuedit video kwenye simu kwa urahisi na haraka

Jinsi ya Kuedit Video Kwenye Simu Kama Kwenye Kompyuta

Ni wazi kuwa kuna programu nyingi sana za kuweza kukusaidia kutengeneza video bora kwenye kompyuta, lakini zipo apps chache sana ambazo zinaweza kusaidia kuweza kuedit video kwa namna bora kiasi kwamba usione tofauti ya kuedit video kwenye simu na kwenye kompyuta.

Kuliona hilo leo nimekuletea njia bora ambayo itaweza kukusaidia kuedit video kupitia simu kiasi kwamba unaweza kuhisi unatumia programu maarufu kama Adobe Premier, Final Cut Pro na programu nyingine kama hizi.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Basi bila kupoteza muda moja kwa moja twende kwenye hatua hizi ambazo ni chache na rahisi za jinsi ya kuediti video kwenye simu kama ambavyo una edit kwenye kompyuta.

Kwa kuanza kama kawaidia unatakiwa kudownload app kupitia link hapo chini, kama unajua jinsi ya kutumia app hiyo basi ni wazi kuwa makala hii inaweza kuishia hapa kwako. Lakini kama hujuia kutumia app hiyo moja kwa moja endelea kwenye hatua hapo chini mara baada ya download app hiyo.

Download App Hapa

Kama unavyoweza kuona kwenye video hapo juu, utaweza kufanya mambo mengi sana ikiwa pamoja na kutoa video ikiwa kwenye 4K, pamoja na kuweka effect mbalimbali kwenye video zako ambavyo huwezi kuweka kwenye programu nyingine za Android.

Kama wewe unatumia tablet basi programu hii huwenda ikawa bora zaidi kwani itakusaidia kuedit kwa urahisi na haraka.

Ukweli kabisa binafsi nimependa sana app hii na nimeona ni shiriki nanyi ili muweze pia kutumia na tumaini utaipenda kwa asilimia 100, niambie maoni hapo chini kama umependa programu hii au kama imeweza kukusaidia kwa namna yoyote.

Kama unataka programu nyingine ya kuedt kupitia simu unaweza kusoma hapa ili kujua jinsi ya kupata programu ya Kine Master Pro Hapa. Kwa maujanja zaidi endelea kutembelea Tanzania tech.

Jinsi ya Kuedit Video Kwenye Simu Kama Kwenye Kompyuta
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Jinsi ya Kuongeza Speed ya Internet Kwenye Kompyuta

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.