in

TECNO yaja na Tunu za TECNO Ofa Mpya Kwaajili ya Msimu wa Sikukuu

Zawadi nyingine na shopping voucher yenye thamani ya hadi Tsh 500,000 kushindaniwa

TECNO yaja na Tunu za TECNO Ofa Mpya Kwaajili ya Msimu wa Sikukuu

Kampuni ya simu maarufu Tanzania na Barani Afrika, TECNO Mobile imekuja na Ofa ya kibabe inayotambulika kwa jina la “TUNU ZA TECNO” yenye malengo ya kuwanufaisha wateja wake katika msimu huu wa sikukuu.

TECNO yaja na Tunu za TECNO Ofa Mpya Kwaajili ya Msimu wa Sikukuu

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Ofa ipo hivi, kwa kila mteja atakayenunua simu ya TECNO Spark 4 Air au simu yoyote katika Camon 12 series atakuwa ameingia moja kwa moja katika droo ya kushindania zawadi kemkem ikiwemo shopping voucher yenye thamani hadi Tsh 500,000 pamoja na King’amuzi cha DSTV chenye Offer ya Compact Bure.

TECNO yaja na Tunu za TECNO Ofa Mpya Kwaajili ya Msimu wa Sikukuu

Droo kubwa zitachezeshwa Tarehe 14 Disemba na 21 Disemba. Ofa hii ni kuanzia tarehe 26 Novemba hadi tarehe 24 Disemba katika maduka yote ya TECNO Tanzania, wahi sasa kwani hata wewe unaweza kuwa mshindi. Kujua zaidi kuhusu ofa hii tembelea mitandao ya kijamii ya TECNO Mobile Tanzania pamoja na tovuti ya www.tecno-mobile.com

TECNO yaja na Tunu za TECNO Ofa Mpya Kwaajili ya Msimu wa Sikukuu
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.