in

Kutana na Kijana wa Kitanzania Aliyebuni Gari la Kielektroniki

Inawezekana hili ndio gari la kwanza la kielektroniki Tanzania

Kutana na Kijana wa Kitanzania Aliyebuni Gari la Kielektroniki

Ni wazi kuwa teknolojia inaendelea kukuwa sana hata hapa kwetu Tanzania, kudhirisha hayo kama una kumbuka hivi karibuni tumeona aina mpya ya teknolojia ya kuzuia wizi wa magari ambayo imebuniwa na vijana wa kitanzania, pia tumeona vijana wakitanzania wakibuni mifumo mingine mbalimbali ya kielektroniki.

Lakini kama hayo yote hayatoshi sasa kutana na kijana wa kitanzania aliyebuni gari la kwanza la kielektroniki hapa nchini Tanzania. Gari hili halina mfumo wa engine ya mafuta bali linatumia mfumo wa kielektroniki wa kuchaji.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Baada ya kuona ubunifu huu wa kitanzania nini maoni yako kuhusu gari hilo pamoja na teknolojia iliyotumika.? tuambie kwenye sehemu ya maoni hapo chini.

Kutana na Kijana wa Kitanzania Aliyebuni Gari la Kielektroniki
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.