in

Jinsi ya Kuchat Kupitia App za Youtube za iOS na Android

Jifunze jinsi ya kutumia sehemu mpya kwenye Youtube

YouTube Chat

Hivi karibuni youtube imeleta sehemu mpya ya share on youtube sehemu hii itakusaidia kuchati kupita programu za Android na iOS za mtandao wa youtube. Makala hii ni kwaajili ya kujifunza jinsi ya kutumia sehemu hiyo mpya.

Kama tayari umesha update app yako ya Youtube, basi moja kwa moja ingia kwenye programu yako kisha utaona sehemu mpya iliyo-ongezwa iliyo andikwa SHARE bofya hapo kisha utapelekwa kwenye uwanja mpya ambapo utaweza kuchat na kushare video.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

UPDATE 2018 : Sehemu ya SHARE sasa imebadilika ni Activity hatua nyingine ni kama zilivyo.

Baada ya hapo bofya sehemu ya juu kabisa iliyo andikwa View Contact, kisha hapo utaona njia mbili za kualika watu ili kuweza kuchat kwenye app ya Youtube. Chagua njia unayo taka kisha chagua unayetaka kumualika kisha mtumie link ambayo hiyo ndio itasaidia mtu kuweza kujiunga na majadiliano kwenye app hizo, angalia video kujifunza zaidi.

Kama utakuwa umekwama mahali usisite kutuandikia kwenye maoni hapo chini nasi tutakujibu moja kwa moja na haraka zaidi.

Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech pia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka, pia usisahu kujiunga na channel yetu ya Tanzania Tech ili kupata habari na maujanja mbalimbali ya teknolojia kwa njia ya Video.

Jinsi ya Kuchat Kupitia App za Youtube za iOS na Android
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Pakua Video Reels, Story, Picha za Instagram Bila App Yoyote

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

8 Comments