in

Sasa Vodacom Tanzania Yaleta LTE 4G

4g

Hayawi hayawi sasa yamekua kampuni inayotoa huduma za simu ya vodacom hivi karibuni imetoa tangazo la kuleta mtandao wa 4g kwa watumiaji wake, mtandao huo ambao umeanza kushika kasi sana nchini tanzania ulianza kwa kampuni inayotoa huduma za simu ya Tigo na sasa Vodacom.

Hata hivyo kampuni hiyo ya vodacom ya nchini tanzania imesema kuwa network hiyo ya 4G itanza kutumika kwa mji wa dar es salaam kwanza na baadae kuamia katika mikoani mingine, pia ili kuwezeshwa inakubidi kubadilisha line yako au kwenda katika voda shop zilizo karibu nawe.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Ili kujua kama simu yako ina network hiyo ya 4G kwenye mtandao wa vodacom tanzania ingia kwenye tovuti hii [button type=”default” text=”Imei.info” url=”http://www.imei.info/” open_new_tab=”true”] kisha weka namba ya utambulisho wa simu yako yani IMEI kisha utaona alama nyekundu hapo utajua kuwa simu yako inaweza kupokea mtandao wa 4G.

Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea page hii ya  [button type=”default” text=”Vodacom Tanzania 4G” url=”https://www.vodacom.co.tz/4g/” open_new_tab=”true”].

 

Sasa Vodacom Tanzania Yaleta LTE 4G
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

5 Comments