Popular Now
Samsung Will Discontinue its Messages app in July 2026 1

Samsung Will Discontinue its Messages app in July 2026

Samsung Yabadilisha Viwango Vya Faragha Ya Simu Duniani Kwa Kuzindua Galaxy S26 Ultra 2

Samsung Yabadilisha Viwango Vya Faragha Ya Simu Duniani Kwa Kuzindua Galaxy S26 Ultra

Sasa Unaweza Kutengeneza Muziki Kupitia Google Gemini 3

Sasa Unaweza Kutengeneza Muziki Kupitia Google Gemini

Facebook Messenger Yaleta Group Call 4

Facebook Messenger Yaleta Group Call

Kampuni ya facebook imetangaza leo kuwa imeanza kutoa toleo lake jipya la facebook messenger ambapo watu sasa wataweza kupiga simu za internet au VoIP audio kupitia magroup yao kwa kutumia programu hiyo facebook messenger.

Ili kupiga simu kwenye group lako bofya kitufe cha simu kisha chagua ni watu gani kwenye group unataka kuwasiliana nao na watapata simu yako wote kwa pamoja, pia unaweza ukaona kwenye group ni nani anaongea na nani na unaweza kuomba kujiunga nao pale watakapo kukubalia utakua na uwezo pia wa kujiunga nao, hata hivyo facebook imetangaza kuwa unaweza kupigia hadi  watu 50 tu, kama bado ujapata toleo hilo jipya usijali ndio kwanza toleo hili limetangazwa kutoka leo.

Previous Post
Kompyuta Mpya ya Asus ROG GT51CA Kwaajili ya Game 5

Kompyuta Mpya ya Asus ROG GT51CA Kwaajili ya Game

Next Post
China Yazifungia Huduma za iTunes' Movies na iBooks 6

China Yazifungia Huduma za iTunes’ Movies na iBooks