Hizi Ndio Simu Bora za Android za Kununua Mwaka 2016

Kama ulikua unatafuta simu ya kununua yenye kutumia Android basi hii ni ndio list ya simu bora za kununua kwa mwaka 2016
android android

Linapokuja swala zima la kununua simu hasa za Android ni lazima kuwa makini ili kupata unachotaka kwani usipokua makini utajikuta unanunua simu ambayo baadae utaiona haifai kwa matumizi yako ya kila siku. Ndio maana leo tunakuletea listi ya simu bora za android ambazo zinafaa sana kununua kwa mwaka huu wa 2016.

Kwa kuanza basi twende tukaangalie simu hizo na kwanini simu hizi ni bora sana kuwa nazo pale unapotaka kununua smartphone hasa yenye kutumia mfumo Android. Kumbuka baadhi ya simu hizi zinaweza zikawa bado hazijafika hapa kwetu Tanzania kwa sasa ila ni vyema kuwa nayo pale tu zinapoingia kwenye maduka mbalimbali hapa Tanzania.

Samsung Galaxy S 7

Advertisement

https://www.youtube.com/watch?v=cyohHyQl-kc

Samsung Galaxy S7 ni simu bora sana kuwa nayo na sio tu kutokana na ubora wake pamoja na teknolojia bali pia simu hii ni nzuri kama unataka simu yenye programu bora, kioo bora na kikubwa pamoja na kuwa na uwezo wa kupokea matoleo mapya ya Android kama vile toleo la mwaka huu (Android Nougat 7.0), kingine kizuri ni sifa za simu hii kwani simu hii inasifa bora sana pamoja hivyo kama bado unatafuta simu yenye kutumia Android Samsung Galaxy S 7 ni simu bora sana kwako.

BEI TZS 1,550,000

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use