Sifa (5) za Muhimu Kwenye Simu Mpya za TECNO CAMON 18

Ukinunua CAMON 18 utapata SMS na GB kutoka Vodacom mwaka mzima
Sifa (5) za Muhimu Kwenye Simu Mpya za TECNO CAMON 18 Sifa (5) za Muhimu Kwenye Simu Mpya za TECNO CAMON 18

Simu Mpya za TECNO Camon 18 zinakuja na sifa mbalimbali ambazo ni bora, ila zipo sifa 5 ambazo ndizo zimeikonga nyoyo za watumiaji simu, zaidi wale wapenda simu janja (smartphone).

TECNO CAMON 18 inakuja na kamera ya kisasa ina kwenda kwa jina la GIMBAL CAMERA ambayo inauwezo wa kuchukua video ikiwa clear bila kucheza cheza. Kwa mfano upo kwenye bodaboda au gari unaweza kurekodi video nzuri na kali.

Sifa (5) za Muhimu Kwenye Simu Mpya za TECNO CAMON 18

Advertisement

Sifa kubwa nyengine kwenye kamera yake inauwezo wa kuzoom mara 60x zaidi. Hata kama kitu kipo mbali unazoom kwa ukaribu na picha ikatoka ikiwa na quality nzuri.

Sifa (5) za Muhimu Kwenye Simu Mpya za TECNO CAMON 18

Ukiondoa uwezo wa kamera wa TECNO CAMON 18 pia simu hii na uwezo mkubwa wa kuhifadhi dokumenti, video, muziki na picha. Tofauti na matoleo ya zamani ya CAMON, simu hii ina kuja na 256GB ROM na RAM 8 GB ya kurahisisha na pia kuongeza ufanisi wa kazi wa simu hii.

Sifa (5) za Muhimu Kwenye Simu Mpya za TECNO CAMON 18

Pia simu ya TECNO CAMON 18 inakuja ikiwa na processor kubwa zaidi na pia ni ya kwanza Afrika kwa simu zenye kutumia processor za MediaTek. Ambapo simu hii ina Media Tek Helio G96. Kwa wale wapenda games hii simu inawafaa zaidi.

Sifa (5) za Muhimu Kwenye Simu Mpya za TECNO CAMON 18

Unaweza kujiuliza mbona hatujataja uwezo wa betri wa CAMON 18.? Simu hii inakuja na betri kubwa ya 4750mAh na uwezo wa kuchaji haraka 33W, ambapo utaweza kuchaji simu yako ndani ya dakika 30 ukajaza zaidi ya 64%. Pia inakuja na kioo cha kisasa AMOLED chenye refresh rate 120Hz ambapo kioo iki kinatunza chaji tofauti na vioo vya simu nyingine.

Sifa (5) za Muhimu Kwenye Simu Mpya za TECNO CAMON 18

Simu ya TECNO CAMON 18 inapatikana katika maduka yote ya tecno Tanzania nzim. Ukinunua simu ya CAMON 18 unapata zawadi ya earbud za Bluetooth au TECNO T301 papo hapo.

Pia utaingia kwenye droo ya kupata zile zawadi kubwa ya tiketi za ndege mwaka mzima kutoa Air Tanzania na kifurushi cha dakika, SMS na GB kutoka Vodacom mwaka mzima, hii si ya kukosa. Kufahamu ofa na zawadi mbalimbali pindi ukinunua simu za TECNO tembelea kurasa zao za mitandao ya kijamii.

1 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use