in

Video : Instagram Imetengenezwa na Gramu Ngapi..?

Kucheka ni Afya hata hapa kwenye teknolojia watu tunafurahi

instagram

Ukweli ni kwamba teknolojia bado sana kwa watanzania, nadhani kuna haja ya kuanza kutoa ufafanuzi wa maneno tunayo yatumia humu maana ukweli ni kwamba kuna baadhi ya watu hawajui hata maana ya neno Instagram…. Inafurahisha lakini inasikitisha pia hasa kwa sisi wanateknolojia.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Nini maoni yako kuhusu hili unadhani ni kwanini bado watanzania wengi tena wengi wao vijana hawajui maana ya vitu vya muhimu tena ukizingatia vitu hivi vinatajwa kila siku kwenye vyombo vya habari.. hivi ina maana hata wanapo sikia hayo maneno huwaza mambo haya haya au..?

Video : Instagram Imetengenezwa na Gramu Ngapi..?
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.