Hii Ndio Sababu ya Mitandao ya Kijamii Kufungwa Nchini Kongo

mitandao ya kijamii yaungwa nchini kongo siku ya Jumanne
mitandao ya kijamii kongo mitandao ya kijamii kongo

Serikali ya Jamhuri ya Demokrasi ya Kongo siku ya tarehe ilimetoa amri ya kufungwa kwa mitandao yote ya kijamii ili kuzuia usambazaji wa picha na video za ghasia zinazoendelea.

Aidha hatua hiyo imechukuliwa kufuatia ongezeko la upinzani dhidi ya rais Joseph Kabila ambaye amekataa kujiondoa madarakani wakati awamu yake inamalizika mwezi Desemba  hata hivyo Migomo ya kitaifa ilipangwa kufanyika siku za Jumanne na Jumatano iliyopita.

Mapigano ya Jumatatu baina ya kundi la Bundu dia Kongo na vikosi vya usalama ,yalipelekea vifo vya watu 14 na wakati wengine wengi wakijeruhiwa vibaya.

Advertisement

Mkuu wa idara ya mawasiliano nchini humo Oscar Manikunda Musata amefahamisha kwamba mitandao ya kijamii kama Twitter, WhatsApp ,Facebook na Instagram itafungwa kwa muda mpaka hapo itakapo tangazwa tena.

Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech pia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka, pia usisahu kujiunga na channel yetu ya Tanzania Tech ili kupata habari na maujanja mbalimbali ya teknolojia kwa njia ya Video.

Chanzo : Amnesty International

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use