in

Je Unadhani Kati ya iPhone 7 na Galaxy S7 Simu ipi ni Bora

Tuambie simu ipi ni bora kwako kwa kupiga kura yako

iPhone-7 na galaxy-s7

Samsung inategemea kutoa simu yake mpya ya Galaxy S8 mwishoni mwa mwezi wa tatu, kwa upande wa kampuni ya Apple pia nayo inajiandaa na simu yake mpya ya iPhone 8 ambayo inategemewa kuja katikati ya mwaka huu kuanzia mwezi wa tano.

Katika hatua zote hizo za kampuni zote hizo kutarajia kuja na simu mpya ni vyema tuangalie nyuma kidogo kujua ni simu gani ambayo imekupendeza kwa mwaka ulio isha wa 2016 kutoka kwa kampuni hizo. Sasa hapa tungependa kujua maoni yako kuwa ni simu gani bora kwako kati ya simu hizo za iPhone 7 na Galaxy S7 tuambie kwa kuchagua aina ya simu unayoona kuwa kwako ni nzuri na bora kwako.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
[totalpoll id=”8884″]

Kama unatumia App ya Tanzania Tech unaweza kutoa maoni yako kwa kutumia link hii http://bit.ly/tanzaniatechmaoni.

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

3 Comments

  1. Asante sana kwa kutupatia ushauri, kutoa maarifa mubashara juu ya teknolojia hakika ni furaha sana kwangu kuyapata haya katika app hii.
    Kuhusu app ya FOAP MARKET naomba nipate uelewa pia kama kuna watanzania ambao hutumia app hii na kufaidika
    NAITWA MOSES MHEMA