Popular Now
Samsung Will Discontinue its Messages app in July 2026 1

Samsung Will Discontinue its Messages app in July 2026

Samsung Yabadilisha Viwango Vya Faragha Ya Simu Duniani Kwa Kuzindua Galaxy S26 Ultra 2

Samsung Yabadilisha Viwango Vya Faragha Ya Simu Duniani Kwa Kuzindua Galaxy S26 Ultra

Sasa Unaweza Kutengeneza Muziki Kupitia Google Gemini 3

Sasa Unaweza Kutengeneza Muziki Kupitia Google Gemini

Insta Live 2

Sasa Utaweza Kusave Video za Insta Live ili Kuangalia Baadae

Hivi karibuni mtandao wa Instagram ulileta sehemu mpya iliyowezesha watu kurekodi video live, sehemu hiyo ya Insta Live kwa sasa ni maarufu hasa hapa Tanzania lakini kulikua na tatizo moja tu ambalo sasa instagram wamepatia ufumbuzi.

Hivi karibuni instagram italeta uwezo wa kuhifadhi (save) video za live stream (Insta Live) mara baada ya kumaliza video yako, sehemu hiyo itakuwezesha kusave video yako kwenye simu yako na kama utataka utaweza kuipost tena kwenye mtandao wa instagram. Tofauti ni kwamba views na like hazitoweza kurekodiwa bali utaweza kupata video yenyewe tu.

Hata hivyo sehemu hiyo inawezeshwa kwa watu wenye video hizo hivyo usiwe na wasiwasi kuhusu mtu kuchukua video yako, sehemu hiyo inategemewa kuja hivi karibuni hivyo pale unapo ona kuna updates za programu hiyo hakikisha una update ili kuweza kupata sehemu hiyo mpya ambayo inapatikana mara baada ya kumaliza video yako ya kwenye mtandao huo.

Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech pia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka, pia unaweza kujiunga na channel yetu ya Tanzania Tech ili kupata habari na maujanja ya teknolojia kwa njia ya video.

Previous Post
Bluetooth Divice

Jina la Bluetooth Limetoka Kwa Mfalme wa Zamani Huko Denmark

Next Post
Super Mario Game

Game ya Super Mario Sasa Kuja Kwenye Android Tarehe 23