Popular Now
Samsung Will Discontinue its Messages app in July 2026 1

Samsung Will Discontinue its Messages app in July 2026

Samsung Yabadilisha Viwango Vya Faragha Ya Simu Duniani Kwa Kuzindua Galaxy S26 Ultra 2

Samsung Yabadilisha Viwango Vya Faragha Ya Simu Duniani Kwa Kuzindua Galaxy S26 Ultra

Sasa Unaweza Kutengeneza Muziki Kupitia Google Gemini 3

Sasa Unaweza Kutengeneza Muziki Kupitia Google Gemini

Jinsi ya Kufungua App Yoyote Kupitia Notification Panel 4

Jinsi ya Kufungua App Yoyote Kupitia Notification Panel

Kama wewe ni kama mimi ambae kwenye simu yangu kuna apps nyingi kiasi kwamba ni lazima utumie sekunde kadhaa kutafuta app unayotaka kutumia basi njia hii inaweza kusaidia sana.

Kupitia makala ya leo nitaenda kuonyesha njia rahisi ambayo unaweza kutumia kuweza kufungua app yoyote kupitia sehemu ya Notification.

Utaweza kufungua apps mbalimbali kama ambayo unawasha data na kuzima kupitia sehemu ya Notification juu ya simu yako. Basi bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye makala hii.

Hakikisha unafuatilia makala yote hadi mwisho kupitia video hiyo hapo juu, kisha hakikisha unapakua app iliyotajwa kupitia hapa au unaweza kupakua app hiyo kupitia link hapo chini.

Download App Hapa

Kama unataka kujifunza maujanja zaidi hakikisha una jiunga na channel yetu ya YouTube hapa, pia hakikisha unasoma makala zaidi kupitia hapa. Mpaka siku nyingine endelea kutembelea Tanzania Tech.

Previous Post
Watch Apple Event March 8 2022 in 11 minutes 5

Watch Apple Event March 8 2022 in 11 minutes

Next Post
Fahamu Sifa Kamili za Simu Yako ya Android (Bila Internet) 6

Fahamu Sifa Kamili za Simu Yako ya Android (Bila Internet)