Popular Now
Samsung Will Discontinue its Messages app in July 2026 1

Samsung Will Discontinue its Messages app in July 2026

Samsung Yabadilisha Viwango Vya Faragha Ya Simu Duniani Kwa Kuzindua Galaxy S26 Ultra 2

Samsung Yabadilisha Viwango Vya Faragha Ya Simu Duniani Kwa Kuzindua Galaxy S26 Ultra

Sasa Unaweza Kutengeneza Muziki Kupitia Google Gemini 3

Sasa Unaweza Kutengeneza Muziki Kupitia Google Gemini

Macbook Air

Apple Kuja na Laptop ya MacBook Air ya Bei Nafuu Zaidi

Ripoti kutoka kwa mwanaripoti wakuaminika Ming-Chi Kuo ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya KGI Securities zinadai huwenda kampuni ya Apple ikazindua laptop mpya ya Macbook Air kabla ya nusu ya mwisho wa mwaka huu 2018.

Ripoti kutoka kwenye mtandao wa 9to5Mac, zinasema kuwa mwanaripoti huyo amesema Apple inategemea kuuza laptop hiyo mpya ya Macbook Air kwa bei nafuu zaidi chini ya Bei ya laptop hiyo kwa sasa ambayo inakadiriwa kuwa dollar $999 mpaka dollar $1200 ambayo ni sawa na shilingi za Tanzania Tsh 2,252,195.55 mpaka Tsh 2,705,340.00 (kwa mujibu wa viwango vya fedha vya siku ya leo).

Ni muda sasa umepita toka kampuni ya Apple kuzindua laptop mpya, lakini kwa mujibu wa mwanaripti huyo Apple inatarajiwa kuja na laptop mpya mwaka huu ikiwa pamoja na mfumo mpya wa uendeshaji wa iOS 11.3 na MacOS 11 mfumo unao tegemewa kuwa na maboresho mengi zaidi.

Previous Post
Hizi Hapa Habari Zote za Teknolojia kwa Wiki Hii 4/3/2018 4

Hizi Hapa Habari Zote za Teknolojia kwa Wiki Hii 4/3/2018

Next Post
Samsung Kuzindua Aina Mpya ya TV za QLED Hapo Kesho 5

Samsung Kuzindua Aina Mpya ya TV za QLED Hapo Kesho