in

Jinsi ya Kujaribu Apps za Android za Kulipia Bure

Unaweza kutumia njia hii kuondoa matangazo kwenye app yoyote

nunua vifurushi ndani ya app bure

Kama wewe ni mtumiaji wa simu yenye mfumo wa Android basi lazima unajua kuhusu vifurushi mbalimbali vilivyopo ndani ya Apps mbalimbali za Android.

Naposema vifurushi hapa inamaanisha (in-app purchase) au vile vifurushi ambavyo unalipia ndani ya Apps ili uweze kuondoa Matangazo au kuweza kutumia sehemu zaidi ndani ya app husika.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Sasa katika hali ya kujifunza, leo nimekuletea njia rahisi ambayo utaweza kuitumia ili kufanya malipo ndani ya Apps mbalimbali bila wewe kulipia pesa hata kidogo. Njia hii ni rahisi na itakusaidia pale utakapo kuwa unataka kujaribu app fulani kabla ya kufanya uamuzi wa kununua moja kwa moja.

Kwa kuanza unahitaji kuwa na simu yako ya Android, pia unahitaji kuwa na internet angalau MB 200 kwaajili ya ku-update na kudownload app inayotumika kwenye maujanja haya. Kama tayari unavyo vitu vyote hivi basi endelea kwenye hatua zinazofuata.

Kwa kuanza ni muhimu kudownload app kupitia link hapo chini, kisha install vizuri app hiyo kisha baada ya hapo endelea kwa kufuata maelezo hapo chini kujua jinsi ya kunua vifurushi vilivyopo ndani ya app yoyote.

Download App Hapa

Kwa kufuata hatua hizo hapo juu utaweza kununua vifurushi vilivyopo ndani ya app mbalimbali za Android bila kulipia kwa namna yoyote.

Kama kuna mahali umekwama unaweza kuuliza swali lako kupitia sehemu ya maoni hapo chini, kwa maujanja zaidi hakikisha unendelea kutembelea Tanzania Tech kila siku.

Jinsi ya Kujaribu Apps za Android za Kulipia Bure
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Jinsi ya Kuongeza Speed ya Internet Kwenye Kompyuta

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

10 Comments