Video : Instagram Imetengenezwa na Gramu Ngapi..?

Kucheka ni Afya hata hapa kwenye teknolojia watu tunafurahi
instagram instagram

Ukweli ni kwamba teknolojia bado sana kwa watanzania, nadhani kuna haja ya kuanza kutoa ufafanuzi wa maneno tunayo yatumia humu maana ukweli ni kwamba kuna baadhi ya watu hawajui hata maana ya neno Instagram…. Inafurahisha lakini inasikitisha pia hasa kwa sisi wanateknolojia.

Nini maoni yako kuhusu hili unadhani ni kwanini bado watanzania wengi tena wengi wao vijana hawajui maana ya vitu vya muhimu tena ukizingatia vitu hivi vinatajwa kila siku kwenye vyombo vya habari.. hivi ina maana hata wanapo sikia hayo maneno huwaza mambo haya haya au..?

Advertisement

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use