Mubashara Mark Zuckerberg Akihojiwa na Wabunge wa Ulaya

Angalia Mark Zuckerberg Akihojiwa na Wabunge wa Ulaya
mark-zuckerberg akihojiwa mark-zuckerberg akihojiwa

Kama ripoti za awali zilivyo sema leo Mark Zuckerberg kwa mara ya pili leo anahojiwa na wabunge wa ulaya kuhusu usalama wa data za watumiaji wa Facebook wa nchini ulaya. Angalia hapa mubashara wakati Mark Zuckerberg akihojiwa na wabunge hao. Mahojiano haya yanafanyika mubashara akiwemo raisi wa bunge la ulaya.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use