in

Video : Jinsi Kenya Ilivyorusha Satelaiti Yake ya Kwanza

Tukio hilo liliuzuriwa na viongozo mbalimbali wa serikali ya Kenya

Satelaiti ya Kenya

Kama wewe ni msomaji wa tovuti ya Tanzania Tech basi lazima utakuwa unajua kuwa wiki hii tarehe 11 mwezi huu wa tano, Kenya ilitangaza kuwa itarusha satelaiti yake ya kwanza. Baada ya tukio hilo kufanikiwa kufanyika hapo siku ya Ijumaa, Jumapili hii ya leo nimekusogezea video ya tukio hilo lilivyokuwa mubashara kutoka nchini Japan. Tukio hilo liliuzuriwa na viongozo mbalimbali wa serikali ya Kenya, pamoja na wafanyakazi wa Shirika la Jaxa ambao ndio waliorusha satelaiti hiyo.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Baada ya Kenya kufanikiwa kurusha satelaiti yake hiyo ya kwanza nini maoni yako, vipi kuhusu Tanzania..? unahisi inaendana na kasi ya sayansi na teknolojia kama ilivyo nchi ya Kenya tuambie kwenye maoni hapo chini.

Video : Jinsi Kenya Ilivyorusha Satelaiti Yake ya Kwanza
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

3 Comments