in

Angalia Hapa Mubashara Mark Zuckerberg Akiojiwa na Congress

Mubashara kabisa Mark Zuckerberg Akiojiwa na Congress

Angalia Hapa Mubashara Mark Zuckerberg Akiojiwa na Congress

Mark Zuckerberg amekuwa akijiandaa kwa jaribio lake kubwa huku Mkurugenzi mkuu huyo wa Facebook akikabiliwa na maswali kutoka kwa mabaraza yote mawili ya congress. Sasa Angalia hapa wakati Mark Zuckerberg akiojiwa Mubashara kabisa kuhusu Cambridge Analytica ilivyochukua data za watumiaji zaidi ya milioni 50.

Kutoka na Urefu wa tukio hilo Baada ya kuonyeshwa Mubashara, unaweza kuangalia HAPA masaa matano (5 hours) wakati Mark Zuckerberg akihojiwa na baraza hilo la seneti au Congress. Kwa sasa unaweza kuangalia ufupisho wa tukio hilo ndani ya dakika kumi (10 minutes) hapo chini.

Tigo 5G Sasa Inapatikana Dar es salaam, Dodoma na Zanzibar

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.