in

Video : Fahamu Mtu Anaeshika Simu Yako Bila Wewe Kujua

Pia unaweza kutumia njia hii kujua sura ya mwizi wa simu yako kwa urahisi

Video : Fahamu Mtu Anaeshika Simu Yako Bila Wewe Kujua

Kama wewe ni mmoja wa watu ambao wanahisi kwa namna moja ama nyingine kuna watu au mtu anashika simu yako bila kujua basi mwisho ni leo. Kupitia makala hii nitaenda kuonyesha njia rahisi na bora ya kumkamata mtu yoyote anaishika simu yako bila wewe kujua.

Kupitia njia hii utaweza kupata, picha ya huyo mtu ikiwa pamoja na apps alizotumia kama ali fanikiwa kufungua simu yako. Kabla ujasema kuwa unajua njia hiyo ambayo tulionyesha kitambo kidogo, basi pangine nikushauri uendelee kusoma makala hii hadi mwisho kwani njia hii ni tofauti kabisa na pia njia hii ni bora zaidi kuliko njia hiyo ya awali.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Sipendi kupoteza muda wako kwa kuwa najua uko bize na muda wako hivyo moja kwa moja twende kwenye makala hii ambayo nakuahidi utapenda sana makala hii.. niamini mimi.!

Kama umefuatilia video hapo juu basi moja kwa moja unaweza kupakua app iliyotajwa kwenye video kupitia link hapo chini. Kama link hiyo haifanyi kazi kwenye simu yako unaweza kupakua app hiyo kupitia Hapa.

Download App Hapa

Kwa maujanja zaidi hakikisha unatembelea Tanzania Tech kila siku, pia hakikisha hupitwi na maujanja zaidi kwa ku-subscribe kwenye channel yetu hapa kupitia mtandao wa YouTube.

Jinsi ya Kutumia Aina Mbalimbali za AI Kwa Wakati Moja

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

2 Comments