Programu ya Facebook Messenger Yaja na Group Video Chat

Programu ya facebook messenger yaongezewa sehemu maalum ya Group video chat
Group Video chat Facebook Group Video chat Facebook

Mtandao maarufu wa kijamii wa facebook hivi karibuni umekuja na sehemu mpya kwenye programu yake ya Facebook Messenger, sehemu hiyo ya Group Video Chat inakupa uwezo wa kuchat na marafiki zako kwenye programu hiyo mpaka watu 50.

Advertisement

Sehemu hii itaanza kupatikana kupita programu zake za Android, iOS na pia kwenye programu yake maalum ya kwenye kompyuta. Facebook imekuwa ikiongeza sehemu mbalimbali kwenye programu yake baada ya hivi karibuni kuleta game kwenye programu hiyo.

Kwa habari zaidi za teknolojia unaweza kujiunga nasi kupitia page zetu za Facebook, Instagram, Twitter pamoja na Youtube, pia kama unataka kupata habari za teknolojia kwa haraka pindi zitakapo toka unaweza kudownload App ya Tanzania tech kupitia Play store.

Soma habari mbalimbali za teknolojia kutoka tovuti ya Tanzania Tech
Over 7,000 subscribers
Add a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *