in

Jinsi ya Kufungua App Yoyote Kupitia Notification Panel

Sasa fungua app, website au faili kwa haraka kupitia sehemu ya Notification

Jinsi ya Kufungua App Yoyote Kupitia Notification Panel3:38

Kama wewe ni kama mimi ambae kwenye simu yangu kuna apps nyingi kiasi kwamba ni lazima utumie sekunde kadhaa kutafuta app unayotaka kutumia basi njia hii inaweza kusaidia sana.

Kupitia makala ya leo nitaenda kuonyesha njia rahisi ambayo unaweza kutumia kuweza kufungua app yoyote kupitia sehemu ya Notification.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Utaweza kufungua apps mbalimbali kama ambayo unawasha data na kuzima kupitia sehemu ya Notification juu ya simu yako. Basi bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye makala hii.

Hakikisha unafuatilia makala yote hadi mwisho kupitia video hiyo hapo juu, kisha hakikisha unapakua app iliyotajwa kupitia hapa au unaweza kupakua app hiyo kupitia link hapo chini.

Download App Hapa

Kama unataka kujifunza maujanja zaidi hakikisha una jiunga na channel yetu ya YouTube hapa, pia hakikisha unasoma makala zaidi kupitia hapa. Mpaka siku nyingine endelea kutembelea Tanzania Tech.

Jinsi ya Kufungua App Yoyote Kupitia Notification Panel
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Pakua Video Reels, Story, Picha za Instagram Bila App Yoyote

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.