in

Simu Mpya ya Tecno Camon X Kuzinduliwa Rasmi April 5

Jiandae na kamera mpya ya kisasa kupitia simu ya Camon X

Camon X

Baada ya tetesi za ujio wa simu mpya za Tecno Camon X pamoja na Camon X Pro sasa habari tulizozipata hapo jana zinadhibitisha kuwa, simu hizo mpya zitazinduliwa rasmi tarehe 5 Aprili mwaka huu 2018 na uzinduzi rasmi unategemewa kufanyika huko nchini Nigeria.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Kwa mujibu wa chanzo hicho cha habari, simu hizo zinategemewa kuja na kamera zenye nguvu zaidi na zinategemewa kuja na sifa za tofauti kuliko simu zingine za Tecno Camon. Mbali na hayo Bado hakuna taarifa zaidi za sifa kamili za simu hiyo lakini tutaendelea kuwaletea habari kamili za simu hii, ikiwa na uzinduzi wa simu hii mubashara kabisa.

Simu Mpya ya Tecno Camon X Kuzinduliwa Rasmi April 5
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Infinix na JBL Waungana Tena Na Sasa Ni Infinix Note 40

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.