Video: Jifunze Maujanja 73 Kwaajili ya Simu na Kompyuta Yako

Jifunze namna mbali mbal za kutumia simu na kompyuta yako kwa utofauti
Maujanja Maujanja

Wote tunapenda teknolojia lakini wa chache ndio tunaojua kutumia teknolojia hiyo kwa undani, hii ndio sababu leo tunakukusanyia maujanja mbalimbali ya simu na kompyuta ambayo yanaweza kufanya wewe kuweza kutumia simu, programu au hata kompyuta yako kwa namna ya tofauti na inayotakiwa.

Muhimu kitu cha muhimu hapa ni kuwa, kumbuka kubofya kitufe kilichopo juu kabisa upande wa kulia ili uwezo kutoka kwenye somo moja kwenda kwenye somo lingine hivyo tu basi enjoy kifaa chako kwa namna mpya.

Advertisement

Kama kuna maujanja ambayo hujaelewa unaweza kutuandikia kupitia sehemu ya maoni hapo chini, pia kama una lolote pia usisite kutuandikia nasi tutakujibu moja kwa moja kupitia ukurasa huu.

Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech pia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka, pia usisahu kujiunga na channel yetu ya Tanzania Tech ili kupata habari na maujanja mbalimbali ya teknolojia kwa njia ya video.

13 comments
  1. Naombeni msaada wakutatua tatizo ambalo liko kwenye simu yangu nalo ni ukiingia kwanye market Inaleta Ujumbe usemao A SEVER ERROR kwaiyo nafanya je ili kulitatua

  2. Mi sina maoni bali nawapongeza kwa kututoa ushamba waTanzania wenzenu tusiofahamu ila nawaomba muongeze bidii na msikate tamaa

    1. ?? Tanzania Tech nina simu inatumia lain ya mtandao mmoja tuu… Naombeni msaada wenu nifanye nini ili simu yangu itumie lain zote??? Msaada wenu plz.

  3. Nina simu ina nisumbuwa yani kila kitu nitakacho kitumia yani menu inakuwa na mtetemo yani inakupeleka sehumu usiyoitaji mara inajipiga yenyewe,na kustak mara kwa mara..nifanye nini??? msaaa wenu plz

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use