Video : Ugumu na Ubora wa Samsung Galaxy Z Fold 2

Bei ya Samsung Galaxy Z Fold 2 ni takrbani TZS 4,700,000 Je simu hii ina ubora..?
Video : Ugumu na Ubora wa Samsung Galaxy Z Fold 2 Video : Ugumu na Ubora wa Samsung Galaxy Z Fold 2

Samsung Galaxy Z Fold 2 ni jaribio la pili la Samsung kutengeneza simu inayojikunja kwenye kioo, nasema jaribio kwa sababu ni wazi kuwa simu hizi bado hazijawa na ubora wa hali ya juu kiasi cha mtanzania kuweza kutumia.

Hii inatokana na hali yetu watanzania wengi hasa kutokana na kazi tunazofanya pamoja na hali nyingine mbalimbali ambapo ni lazima simu ziwe na uwezo mzuri ili kuweza kukizi matumizi hapa nchini. Kifupi ni kuwa hapa Tanzania wengi wetu tunatumia simu ambazo ni ngumu kidogo na jinsi Galaxy Z Fold 2 ilivyo sidhani kama inakidhi mahitaji yetu kwa sasa. Angalia video hapo chini kujua ugumu na ubora wa simu hii mpya inayojikunja kutoka Samsung.

Advertisement

Nini maoni yako..? Unadhani simu hii inafaa kutumika hapa nchini Tanzania.? Je wewe ungenunua na kutumia simu hii. Tuambie kwenye maoni hapo chini.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use