in

Mtandao wa Simu wa MTN Ghana Waanza Majaribio ya 4G

Mtandao wa Simu wa MTN Ghana Waanza Majaribio ya 4G

Wakati watanzania wakishangilia neema ya kuwa na mtandao wakwanza wa simu wenye 4G uko ghana mtandao wa simu wa MTN umeanza kufanya majaribio ya kuwezesha huduma hiyo kwa watumiaji wake nchini ghana. Hayo yalisemwa na mtendaji wa kampuni ya MTN Mr Ebenezer Twun Asante alisema hayo kwenye mashindano ya Application yaliyopewa jina la “App Challenge”.

Hivi karibuni kampuni ya MTN ya uko ghana inasemekana kuwekeza kiasi cha dollar za kimarekani million 96 USD  kwaajili ya kuboresha miundo mbinu yake pamoja na kupanua huduma za internet kwa watumiaji wa mtandao huo uko ghana hayo yaliandikwa kupitia blog ya Biztechafrica.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

 

Mtandao wa Simu wa MTN Ghana Waanza Majaribio ya 4G
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.