in

Part 2 : Jinsi Nilivyo Tengeneza Milioni 20 Mtandaoni

Kupitia hapa nitakwambia kwanini niliacha biashara hii

Part 2 : Jinsi Nilivyo Tengeneza Milioni 20 Mtandaoni

Kupitia Video hii tunaendela kwenye Muondelezo wa Video iliyopita ambayo nilikuwa nikiwaonyesha jinsi nilivyo weza kutengeneza pesa mtandaoni zaidi ya Milioni 20 kwa kutumia njia rahisi.

Kupitia Video hii utaweza kujua kwa nini niliacha kufanya njia hii au kikwazo kikubwa cha biashara hii ni nini, ni muhimu sana kujua haya kabla ya kuendelea kwenye awamu ya mwisho ambayo nitakuonyesha jinsi ya kupata pesa kwa kutumia tovuti ambayo mimi nilitumia kwa kipindi hicho.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Kama unataka kuona mfano wa tovuti hiyo unaweza kuangalia hapa na utaweza kuona tovuti kama hiyo ambayo nimeiweka kama mfano.

Kama unataka kupata mfumo kama huu hakikisha una tembelea tovuti ya Tanzania Tech kila siku pia kama unataka kuwa wa kwanza kupata mfumo huu hakikisha una subscriber kwenye channel yetu kwani ni watu wachache wa kwanza watakao pata mfumo huu.

Part 2 : Jinsi Nilivyo Tengeneza Milioni 20 Mtandaoni
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

2 Comments