Program ya Android ya Tanzania Tech Yaja Hivi Karibuni

Program ya Android ya Tanzania Tech Yaja Hivi Karibuni Program ya Android ya Tanzania Tech Yaja Hivi Karibuni

Hivi karibuni tegemea kuona App ya Tanzania Tech kwenye Play Store ikiwa ni mfululizo wa hatua ya kwanza wa kufanya kampuni ya media ya Ttech kujulikana Afrika Mashariki, Programu hiyo itakuja kwa wenye mifumo ya Android kwanza na baadae kuja kwa watumiaji wa iOS pia kwa kutumia sehemu maalumu iliyopo kwenye programu hiyo utaweza kutumia application hiyo bila kuwa na internet.

Hii ni habari njema kwa wapenda teknolojia wa afrika mashariki, hata hivyo application hiyo inategemewa kuingia sokoni tarehe 20 mwezi wa 4 2016.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use